Salamu za RC Mwanza kwenye kilele cha Ufunuo wa Matumaini
95 Ansichten
Mtemisi
06/25/19
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa Mkoa Mwanza Mhe.John Mongella jana alimwakilisha Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa kwenye kilele cha mkutano wa injili wa Ufunuo wa Matumaini ulioandaliwa na kanisa la Waadventista Wasabato Kanda ya Nyanza Kusini.
Baada ya kusoma hotuba ya Mhe.Majaliwa, Mhe.Mongella pia alitoa salamu zake kwenye mkutano huo.
-
Kategorie
Zeig mehr
Facebook Kommentare
Keine Kommentare gefunden