Salamu za RC Mwanza kwenye kilele cha Ufunuo wa Matumaini

95 Просмотры
Mtemisi
Mtemisi
06/25/19

Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa Mkoa Mwanza Mhe.John Mongella jana alimwakilisha Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa kwenye kilele cha mkutano wa injili wa Ufunuo wa Matumaini ulioandaliwa na kanisa la Waadventista Wasabato Kanda ya Nyanza Kusini.

Baada ya kusoma hotuba ya Mhe.Majaliwa, Mhe.Mongella pia alitoa salamu zake kwenye mkutano huo.

Показать больше

0 Комментарии Сортировать по

Комментариев нет

Комментарии Facebook

Следующий